#TAFAKARI YA LEO; RAHA IPO KWENYE KUFANYA…

By | April 7, 2021
Watu wengi hutegemea kupata raha au furaha baada ya kukamilisha kufanya kitu. Lakini ukweli ni kwamba raha inapatikana wakati wa kukifanya kitu, siyo baada ya kumaliza kukifanya. Na ili uipate raha hiyo, lazima uwe umechagua na kuridhia kukifanya na wakati wa kukifanya unaweka umakini wako wote hapo. Usihangaike kutafuta raha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz