2288; Watoze watu wakikukatisha kwenye hiki…

By | April 6, 2021
2288; Watoze watu wakikukatisha kwenye hiki… Joe Girard, aliyekuwa muuzaji mkubwa wa magari amewahi kusema kitu anachopenda zaidi ni kulala, hivyo kama mtu anakatisha usingizi wake, lazima awatoze. Kuna kitu kikubwa sana cha kujifunza hapa, kuhusu kuweka vipaumbele kwenye maisha yako. Tumeshajifunza umuhimu wa kufanya kile unachopenda na kuangalia namna

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz