2291; Mchakato wa mafanikio…

By | April 9, 2021
2291; Mchakato wa mafanikio… Mafanikio ni mchakato, ambao unahitaji juhudi na muda wa kutosha mpaka uweze kuyafikia. Mchakato huo una vipengele kadhaa, ambavyo unapaswa kuvifuata bila kuacha hata kimoja. Kipengele cha kwanza ni kujua kile hasa unachotaka kupata au kufikia. Lazima ujue mafanikio kwako yana maana gani. Kama hujui unakotaka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz