2297; Misimu Ya Maisha…

By | April 15, 2021
2297; Misimu Ya Maisha… Kila kitu kwenye asili, huwa kinaenda kwa misimu. Na hiyo ni kwa sababu kwenye asili hakuna kilichosimama, kila kitu kipo kwenye mwendo. Maisha yetu pia yana misimu mbalombali, lakini wengi hatulijui hilo. Tunachofikiri ni maisha kama safari ya njia iliyonyooka, kuanzia kuzaliwa mpaka kufa. Lakini hivyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz