#TAFAKARI YA LEO; SIYO RAHISI LAKINI INAWEZEKANA…

By | April 16, 2021
Kufikia mafanikio makubwa siyo kazi rahisi, lakini ni kitu kinachowezekana kwa sababu wapo ambao wameweza kuyafikia. Hivyo wajibu wetu kama tunataka kuyafikia, ni kujitoa kweli kweli na kuwa tayari kupambana kwa kila namna ili kuyapata. Tunapotaka kukata tamaa tujikumbushe haya mawili, kwamba wapo walioweza kufikia mafanikio hayo makubwa na wapo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz