2306; Hadhi inaanzia mfukoni…

By | April 24, 2021
2306; Hadhi inaanzia mfukoni… Kuna watu hawana fedha, lakini wakishauriwa hatua za kuchukua ili watoke kwenye hali hiyo ya kutokuwa na fedha huwa wanaleta ubishi. Wanasema hawawezi kuchukua hatua hizo kwa sababu zitashusha hadhi yao. Iko hivi rafiki, kama huna fedha, hakuna njia halali ya kuingiza fedha ambayo siyo ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz