#TAFAKARI YA LEO; KINACHOFANYA MAISHA YAWE MAGUMU….

By | April 25, 2021
Ni kufanya mambo rahisi, kuishi kwa mazoea na kuigiza maisha. Unafanya mambo rahisi kwa sababu hutaki kuchoka, kusumbuka wala kuumia, hutaki pia kushindwa. Unafanya kwa mazoea kwa sababu hutaki kufikiri tofauti na unahofia kujaribu vitu vipya kwa kuwa huna uhakika navyo. Unaigiza maisha kwa kutaka uonekane tofauti na uhalisia wako

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz