#TAFAKARI YA LEO; FURAHIA CHANGAMOTO…

By | June 20, 2021
Wakati wengine wanazichukoa na kuzikimbia changamoto, wewe unapaswa kuzifurahia na kuzikaribisha, kwa sababu ndani yake huwa zina fursa nzuri za ukuaji zaidi kwako. Hutaweza kuziona fursa hizo nzuri kama utaona changamoto ni mbaya. Hivyo anza na mtazamo kwamba changamoto ni nzuri kisha jiulize ni fursa zipi nzuri zilizo ndani ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz