2363; Hiyo siyo kazi yao…

By | June 20, 2021
2363; Hiyo siyo kazi yao… Unataka kila mtu akubaliane na wewe ndiyo ufanye kile unachotaka, unajichelewesha bure. Unataka kila mtu akupende ndiyo uone umekamilika, utasubiri sana. Unataka watu wakuheshimu ndiyo ujione una thamani, utazidi kujipoteza. Siyo kazi ya wengine kukupenda, kukukubali na kukuheshimu, hiyo ni kazi yako mwenyewe. Kinachowatofautisha wanaofanikiwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz