#TAFAKARI YA LEO; USIFANYE MAAMUZI KABLA YA KUONA HIKI…

By | August 3, 2021
Maamuzi mengi unayofanya kwenye maisha yako yanakuwa siyo sahihi kwa sababu unayafanya kwa kuangalia vitu kwa nje pekee. Usiwe mtu wa kufanya maamuzi kabla hujaangalia kitu kwa ndani, maana kwa kufanya hivyo ndiyo unaujua ukweli wenyewe. Kwa kuangalia kwa nje huoni ukweli ambao upo ndani. Kwa nje kila kitu ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz