2407; Ni msimamo au kukosa fursa?

By | August 3, 2021
2407; Ni msimamo au kukosa fursa? Kuna watu ambao hawafanyi vitu fulani, wakidhani kwamba wana msimamo. Kumbe watu hao hawana msimamo wowote, ni vile tu wamekosa fursa ya kuwawezesha kufanya kitu hicho. Mfano mtu anaweza kusema hawezi kuiba, kumbe tu hajapata fursa ya kuweza kujipatia kitu kwa wizi bila ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz