#TAFAKARI YA LEO; MAJARIBU YANAPIMA MSIMAMO…

By | August 4, 2021
Majaribu huwa yanapima msimamo ambao mtu anao kwenye jambo lolote lile. Ambao hawajawahi kupitia majaribu makubwa kwenye kitu, wanaweza kudhani wana msimamo, kumbe siyo. Huwa tunawashangaa watu kwamba wamebadili msimamo wao, kwamba awali walikuwa na msimamo fulani, ila baada ya kupata fursa fulani wakabadilika. Hao hawakuwa na msimamo, ila tu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz