2413; Ubaya ni kusimama…

By | August 9, 2021
2413; Ubaya ni kusimama… Kitu pekee unachohitaji kwenye maisha ni kuwa kwenye mwendo. Haijalishi unakwenda kwa kasi kiasi gani, muhimu ni kuwa kwenye mwendo. Jambo baya kabisa kwenye maisha ni kusimama. Kwa sababu dunia haisimami, hivyo unaposimama unakuwa umechagua kurudi nyuma. Unapaswa kujikumbusha kwamba chochote cha maana unachotaka kwenye maisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz