#TAFAKARI YA LEO; UFUJAJI NI KIKWAZO…

By | August 9, 2021
Kutumia hovyo rasilimali ambazo zina uhaba mkubwa ni kikwazo kwako kuweza kupiga hatua na kufanikiwa. Kwa rasilimali hizo muhimu, unahitaji ubahili na ufanisi. Ubahili katika kutumia ili zitoshe na ufanisi katika kutumia ili zilete matokeo makubwa. Rasilimali ulizonazo tayari zinakutosha kupiga hatua kubwa, kama unaona hazitoshi ni kwa sababu huna

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz