2414; Ukishindwa, usiwajibie wengine…

By | August 10, 2021
2414; Ukishindwa, usiwajibie wengine… Nimekuwa nasema kama kuna kitu unatumia kama sababu ya kushindwa kupata unachotaka, lakini kuna mwingine ameweza kupata licha ya kuwa na hiyo wewe unaita sababu basi siyo sababu kweli, ni kisingizio tu. Moja ya dalili za kushindwa bila kukubali ni kuwa tayari kuwajibia wale walioweza, kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz