#TAFAKARI YA LEO; KINACHOKUZUIA USIFAKIWE…

By | August 11, 2021
Ni ujuaji mwingi, kudhani unajua kila kitu na pale unaposhindwa basi unajipa kila aina ya visingizio. Hata pale wengine wanapokuwa wamefanikiwa kwenye kile ulichoshindwa bado hukubali kujifunza kwao, badala yake unawajibia kwa nini wao wamefanikiwa na wewe umeshibdwa. Usiendekeze tabia hiyo ya walioshindwa, kuwa mnyenyekevu na jifunze kwa wale waliopiga

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz