#TAFAKARI YA LEO; KUWA MAKINI NA TAARIFA UNAZOPOKEA…

By | August 16, 2021
Uongo na uzushi huwa unasambaa kwa kasi kuliko ukweli. Hiyo ni kwa sababu uongo uba mbwembwe nyingi na unagusa hisia hivyo kusambaa kama moto. Ukweli hauna mbwembwe wala hauchochei hisia. Hivyo kuwa makini sana na taarifa unazopokea, kama huwezi kuzithibitisha kama ni kweli au la, angalia kasi ambayo taarifa hizo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz