2420; Kuna watu wananufaika hata kama

By | August 16, 2021
2420; Kuna watu wananufaika hata kama hawakuambii… Tatizo kubwa kwenye maisha, hasa kwenye safari ya mafanikio ni upweke utakaokutana nao. Mara kwa mara utajikuta kwenye hali ya upweke, ukijiona uko mwenyewe kwenye mapambano unayoendesha. Katika nyakati hizo ndiyo mawazo ya kukata tamaa hukujia, yakikushawishi kwamba hakuna anayejali. Lakini mimi nataka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz