#TAFAKARI YA LEO; UPWEKE WA SAFARI YA MAFANIKIO…

By | August 17, 2021
Unapoamua kufanya makubwa na ya tofauti, utajiona kama uko peke yako. Dunia itaonekana kutokujali kabisa na kusubiri uanguke ili ikucheke. Lakini manbo hayako hivyo, kuna wengi sana ambao wako nyuma yako, japo wapo kimya kimya. Watu hao wananufaika na kile unachofanya na pia wanapata matumaini ya wao pia kufanya makubwa.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz