2426; Kusikia na kuona…

By | August 22, 2021
2426; Kusikia na kuona… Kama unachosikia kinatofautiana na unachoona, amini kile unachoona. Uongo huwa ni rahisi sana kusemwa, lakini ni mgumu kuonyeshwa. Kwenye kila aina ya uongo, huwa kuna ukweli unaoonekana wazi, lakini kwa sababu tunataka sana kusikia kile tunachotaka, tunaishia kudanganywa. Ni vigumu sana kudanganywa kama macho yako yatakuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz