#TAFAKARI YA LEO; TATIZO LINAANZIA KWENYE KUTOKUJIAMINI…

By | August 22, 2021
Mstoa Marcus Aurelius amewahi kusema anashangazwa na tabia ya binadamu, huwa tunajipenda wenyewe zaidi ya tunavyowapenda wengine, lakini tunayathamini maoni ya wengine kuliko yetu wenyewe. Hili ni tatizo linaloanzia kwenye kutokujiamini. Unapokuwa hujiamini wewe mwenyewe, kile unachofanya na kule unakotaka kufika, unashindwa pia kuyaamini maoni yako mwenyewe. Unaona maoni ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz