2427; Makasiriko…

By | August 23, 2021
2427; Makasiriko… Katika hali yoyote ile, aliyekasirika ndiye mwenye matatizo. Yaani kama kuna mtu amekukasirisha, tatizo siyo mtu huyo, bali tatizo ni wewe uliyekasirika. Kwa maana nyingine, ukikasirika maana yake una matatizo. Na wewe angalia wazi tu ni wakati gani unakasirika. Mara nyingi ni moja kati ya nyakati hizi tatu.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz