#TAFAKARI YA LEO; HASIRA NI MATATIZO BINAFSI…

By | August 24, 2021
Kinachokufanya ukasirike siyo kile alichofanya mtu au kilichotokea, bali ni matatizo yako binafsi. Unakasirika kwa sababu kuna namna unataka vitu viwe na havijawa, hivyo kupelekea kujiumiza zaidi. Kuondokana na hasira, anzia ndani yako mweyewe, acha kutaka vitu viwe kama unavyotaka wewe na vipokee kama vinavyokuja kwako. Pia usikubali tu kuchukua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz