2465; Hudanganywi ila unajidanganya.

By | September 30, 2021
2465; Hudanganywi ila unajidanganya. Huwa tunalalamika kwamba watu wengine wametudanganya kwenye mambo mbalimbali. Wakatufanya tuamini kwa namna fulani ambayo siyo sahihi. Unaweza kuona uko sawa kwenye hilo, lakini ukiangalia kwa undani, utaona wazi haupo sawa. Watu huwa hawakudanganyi, ila umekuwa unajidanganya mwenyewe. Twende taratibu hapa maana inahitaji utulivu na umakini

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz