2466; Unawafanyia wengine, kwa ajili yako.

By | October 1, 2021
2466; Unawafanyia wengine, kwa ajili yako. Mambo mengi unayowafanyia wengine kwenye maisha, unayafanya kwa ajili yako mwenyewe. Unawatumia hao wengine kama sababu tu, lakini mhusika mkuu ni wewe. Chochote unachomshauri mtu mwingine, ni ushauri ambao unautoa kwa ajili yako mwenyewe. Haijalishi umeutoa kwa nani na kwa ajili ya nini, huo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz