2467; Mlango wa sita wa hisia.

By | October 2, 2021
2467; Mlango wa sita wa hisia. Tumefundishwa sana kuhusu milango mitano ya hisia. Macho yanayoona. Pua inayonusa. Ulimi unaoonja. Masikio yanayosikia. Ngozi inayohisi. Hiyo ni milango inayoeleweka kirahisi na ndiyo maana inafundishwa bila tatizo. Kuna mlango wa sita wa hisia ambao umekuwa haueleweki kirahisi jinsi unavyofanya kazi, ndiyo maana umekuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz