MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
2472; Muda na Umakini…
2472; Muda na Umakini… Watu wengi wamekuwa wanasingizia muda kama kikwazo kwao kufanya yale yaliyo muhimu. Wanasema hawana muda wa kufanya mambo hayo. Mimi nimekuwa nalikataa hilo, nikisema kila mtu ana muda sawa. Hivyo ambao wanasema hawana muda, wanatafuta tu visingizio na wamekosa vipaumbele kwenye maisha yao. Nimekuwa nawakatalia kabisa