2473; Uimara ndani ya udhaifu.

By | October 8, 2021
2473; Uimara ndani ya udhaifu. Tumeshajifunza sana jinsi ambavyo hakuna aliyekamilika. Kwamba kila mmoja wetu ana madhaifu yake. Wengi huwa wanalipokea hilo kwa mtazamo wa kuyaondoa madhaifu yao na ili yasiwe kikwazo. Kinachotokea ni madhaifu yao yanazidi kuwa imara huku uimara wao ukiwa dhaifu. Yaani unapoweka nguvu kuyaondoa madhaifu yako,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz