2491; Hawabadiliki, wanachoka kuigiza.

By | October 26, 2021
2491; Hawabadiliki, wanachoka kuigiza. Watu huwa hawabadiliki, bali wanachoka kuigiza. Angalau siyo kwa haraka kiasi hicho, yaani hata kama watu watabadilika, haiwi haraka na rahisi. Hivyo unapojiambia mtu amebadilika, kuwa makini, mara nyingi anakuwa amechoka kuigiza na kuamua kuishi uhalisia wake. Kwamba mtu alikuwa mwaminifu na ghafla amekuwa siyo mwaminifu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz