#SheriaYaLeo (60/366); Tumia njia ya kujaribu na kushindwa.

By | December 30, 2021
#SheriaYaLeo (60/366); Tumia njia ya kujaribu na kushindwa. Katika safari yako ya kujifunza ili kufikia ubobezi, usianze na ujuzi mmoja na kukomaa nao huo mapema. Badala yake jifunze ujuzi mwingi unaoendana na kile unachotaka kubobea. Kadiri unavyojikusanyia ujuzi mwingi, ndivyo unakuwa na uwanja mpana wa kufanya mengi na makubwa zaidi.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz