2556; Mbona huyu mtoto hakui haraka?

By | December 30, 2021
2556; Mbona huyu mtoto hakui haraka? Mara kwa mara huwa napata swali la aina hii ninapokuwa natibu wagonjwa. Mzazi mwenye wasiwasi anauliza mtoto anakaribia mwaka, lakini bado hajaota meno. Nilimchunguza mtoto vizuri nagundua hana shida yoyote, maendeleo yake yote yako vizuri. Hapo huwa napenda kudadisi nini kinampa hofu zaidi mzazi.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz