ONGEA NA KOCHA; Safari Ya Maisha Ya Farhia Omar.

By | January 10, 2022
Habari wanamafanikio? Karibuni kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo tumefanya mahojiano na mwanamafanikio mwenzetu Farhia Omar aliyetushirikisha safari yake ya maisha. Farhia ametushirikisha historia fupi ya maisha yake tangu kuzaliwa. Ametushirikisha kusoma na kufanya kazi kabla ya kusafiri kwenda nje ya nchi. Ametushirikisha sababu zilizomsukuma kwenda nje ya nchi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: ONGEA NA KOCHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz