#SheriaYaLeo (72/366); Jiboreshe kupitia kushindwa.

By | January 11, 2022
#SheriaYaLeo (72/366); Jiboreshe kupitia kushindwa. Kukosea na kushindwa ni zawadi kubwa kwako. Kwani kunakuonyesha ni maeneo gani ambayo una madhaifu au bado hujawa imara kama inavyohitajika. Unapofanya kitu na ukakosea au ukashindwa, haimaanishi kwamba huwezi kamwe kukifanya. Bali inamaanisha kuna vitu bado hujavijua katika kufanya kitu hicho. Hivyo unapaswa kujifunza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz