#SheriaYaLeo (82/366); Fanya Tahajudi.

By | January 21, 2022
#SheriaYaLeo (82/366); Fanya Tahajudi. Safari ya ubobezi na kuelekea kwenye mafanikio makubwa inahitaji ukomavu, utulivu na umakini wa muda mrefu. Wengi huanza safari hiyo wakiwa na hamasa ya hali ya juu sana. Lakini kadiri muda unavyokwenda hamasa hiyo inapoa na wanajikuta wakirudi kwenye mazoea. Mawazo yao yanahama hama na hayawezi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz