2629; Hawataki ushauri wako.

By | March 13, 2022
2629; Hawataki ushauri wako. Nimewahi kuandika mara kadhaa kuhusu ushauri wa bure. Nikisisitiza usimpe mtu ushauri kama hajakuomba na usipokee ushauri kwa mtu kama hujamuomba akushauri. Pia nikaeleza jinsi ushauri wa bure ulivyo na gharama pale unapoufanyia kazi, kwa sababu unakuwa haujatolewa kulingana na uhitaji uliopo. Leo nakwenda kukupa sababu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz