#SheriaYaLeo (133/366); Kuwa makini na wema unaoonyeshwa.

By | March 13, 2022
#SheriaYaLeo (133/366); Kuwa makini na wema unaoonyeshwa. Mara nyingi watu hukazana kuonyesha wema fulani kwa nje ili waonekane wanafanya kwa manufaa ya wengine. Lakini ndani yao wanakuwa wameficha sababu halisi ambayo ni kujinufaisha wao wenyewe zaidi. Kuwa makini sana na wema unaoonyeshwa kwa nguvu kubwa, kwa sababu unakuwa umeficha ulaghai

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz