#SheriaYaLeo (142/366); Kuridhisha kulikopitiliza.

By | March 22, 2022
#SheriaYaLeo (142/366); Kuridhisha kulikopitiliza. Kuna watu ambao ni rahisi sana kukubaliana na wewe pale unapokutana nao. Wanatabasamu sana, wana shauku kubwa na wanakuwa tayari kukusaidia kwa lolote. Hilo linakufanya uwaone ni watu sahihi kwako na kuwakubali kwenye maisha yako. Wanakuwa ni watu wanaokuridhisha na hivyo unawapa fursa mbalimbali kwenye maisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz