2643; Inategemea na ngazi uliyopo.

By | March 27, 2022
2643; Inategemea na ngazi uliyopo. Huioni dunia jinsi ilivyo, bali unaiona dunia kwa namna ulivyo wewe. Unavyoiona dunia siyo uhalisia, bali ni namna mtazamo wako ulivyo. Ukiwa masikini unaiona dunia kwa namna fulani. Na ukiwa tajiri unaiona dunia kwa namna nyingine tofauti zaidi. Ukiwa masikini unaikubali kila fursa inayokuja kwako,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz