#SheriaYaLeo (147/366); Mtego wa uaminifu.

By | March 27, 2022
#SheriaYaLeo (147/366); Mtego wa uaminifu. Uaminifu wa kweli ni sifa ambayo inapatikana kwa watu wachache sana. Na pia ndiyo sifa inayotumika sana na wale wenye hila ya kujinufaisha kupitia wengine. Wanaigiza kama ni watu waaminifu sana ili wale wanaowalenga wawaamini. Na hapo wakishawaamini basi wanapata kile wanachotaka. Mfano mtu anaweza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz