#SheriaYaLeo (150/366); Usichukulie chochote kwa ubinafsi.

By | March 30, 2022
#SheriaYaLeo (150/366); Usichukulie chochote kwa ubinafsi. Katika safari ya maisha utakutana na watu mbalimbali, ambao watafanya mambo ambayo hukutegemea wafanye. Ni rahisi kuchukulia hayo kibinafsi, kuona wamefanya ili kukuonea na mtazamo mwingine wa aina hiyo. Lakini hilo siyo sahihi, watu hawafanyi lolote kwa ajili yako, bali wanafanya kwa ajili yao

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz