2656; Teknolojia itakunyoosha.

By | April 9, 2022
2656; Teknolojia itakunyoosha. Siku siyo nyingi nilikuwa nataka kuwahi mahali na hivyo kuhitaji usafiri wa haraka wa pikipiki. Nikitumia mtandao wa kuita vyombo vya usafiri na mara moja usafiri ukaja. Lakini dereva aliyekuja hakuwa mzuri, hakuendesha vizuri wala kufuata vyema maelekezo. Pamoja na kumwambia lakini hakuonekana kusikiliza au kuelewa. Basi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz