#SheriaYaLeo (165/366); Ongoza ukiwa mbele.

By | April 14, 2022
#SheriaYaLeo (165/366); Ongoza ukiwa mbele. Unapokuwa kiongozi, unahitaji kuwa na ushawishi mkubwa kwa wale unaowaongoza ili wafanye yale wanayopaswa kufanyika. Huwezi kupata ushawishi huo kwa kulazimisha au kubembeleza. Hizo ni njia zenye matokeo ya muda mfupi ila siyo endelevu. Njia bora ya kuwa na ushawishi kwa wale unaowaongoza ni kuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz