2661; Wanakuvuruga usione uhalisia.

By | April 14, 2022
2661; Wanakuvuruga usione uhalisia. Mpishi mmoja mbobezi amewahi kusema njia ya haraka ya kujua kama chakula ni kizuri au kibaya ni kuangalia viungo ambavyo vimewekwa kwenye chakula hicho. Akaendelea kusema unapoona chakula kina viungo vingi sana, jua siyo kizuri. Hivyo wanaweka viungo vingi ili kukuvuruga usione uhalisia. Alitumia maneno makali

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz