#SheriaYaLeo (167/366); Tumia sanaa ya kuwepo na kutokuwepo.

By | April 16, 2022
#SheriaYaLeo (167/366); Tumia sanaa ya kuwepo na kutokuwepo. Unapaswa kujua jinsi ya kupangilia kuwepo na kutokuwepo kwako. Sisi binadamu huwa tunadharau kitu kinachopatikana muda wote na kuthamini kile ambacho hakipatikani. Kwa ujumla, ni vyema kuegemea zaidi upande wa kutokuwepo/kutokupatikana ili pale unapokuja kuonekana watu wanakuwa na shauku kubwa. Ukifanya hilo,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz