2662; Kama Ninge….

By | April 15, 2022
2662; Kama Ninge…. Hakuna njia rahisi ya kuyaharibu maisha yako na kujizuia kufanikiwa kama kuwa na majuto. Kuangalia yale ambayo hukufanya au hukuchagua na kuona labda ndiyo yangekuwa bora ni uhakika unachofanya sasa hakiwezi kuwa bora. Uliacha kazi na kuingia kwenye biashara, lakini mambo hayaendi kama ulivyotegemea. Unaweza kujiambia, kama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz