#SheriaYaLeo (172/366); Onyesha udhaifu wako.

By | April 21, 2022
#SheriaYaLeo (172/366); Onyesha udhaifu wako. Jifunze kugeuza udhaifu wako kuwa njia ya kupata mamlaka. Pale unapoonekana imara na mkamilifu wakati wote, watu wanaweza kuona wewe siyo wa aina yao. Katika nyakati fulani unapaswa kuwaonyesha watu udhaifu wako ili waweze kuona wewe ni kama wao, na kukuamini zaidi. Hila linakufanya uwe

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz