#SheriaYaLeo (180/366); Tengeneza upya nguvu ya mamlaka yako.

By | April 29, 2022
#SheriaYaLeo (180/366); Tengeneza upya nguvu ya mamlaka yako. Unaweza kujenga mamlaka yako au mafanikio na kufika viwango vya juu kabisa. Lakini kadiri muda unavyokwenda, mamlaka hayo yanaanza kupoteza nguvu zake. Watu wanakuzoea kwa yale ambayo tayari umekuwa unayafanya. Na huku watu wapya wanaokuja wakiwa hawakujui vyema. Wewe mwenyewe unakuwa unafanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz