#SheriaYaLeo (182/366); Weka wazi mbinu zako.

By | May 1, 2022
#SheriaYaLeo (182/366); Weka wazi mbinu zako. Pamoja na kwamba ni muhimu kutumia mbinu mbalimbali kuficha nia yako halisi, kuna wakati utalazimika kuweka mbinu na nia yako wazi. Pale watu wanapojua kwamba huwa unatumia mbinu mbalimbali kuficha nia yako, hilo linakosa nguvu. Kwani inakuwa vigumu kwao kuendelea kukuamini. Ni katika hali

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz