#SheriaYaLeo (190/366); Wasioshawishika.

By | May 9, 2022
#SheriaYaLeo (190/366); Wasioshawishika. Katika harakati zako za kutaka kuwashawishi wengine ili wakupe kile unachotaka, utakutana na watu ambao hawawezi kushawishika. Hawa ni watu wasiojiamini kupitiliza. Kila mmoja wetu huwa anakuwa na hali ya kutokujiamini. Lakini katika mchakato wa ushawishi, huwa hali hiyo inavukwa kirahisi. Kwa wasioshawishika, kutokujiamini kwao kunakuwa kumepitiliza.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz