#SheriaYaLeo (195/366); Tumia vizuri utofauti.

By | May 14, 2022
#SheriaYaLeo (195/366); Tumia vizuri utofauti. Kuna utofauti ambao wewe unao ukilinganisha na watu wengine. Unapaswa kutumia utofauti huo kuwafanya watu washawishike zaidi na wewe. Na njia bora ya kufanya hivyo ni kuhakikisha mtu unayetaka kumshawishi anajua utofauti huo. Kwanza unamweka kwenye hali ambayo anakosa kile ulichonacho. Kisha unakuja kumpa hicho

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz